Zaidi ya watu bilioni 1.8 duniani kote kwa siku ya jana Mei 20, 2018 walikuwa bize kufuatilia harusi ya kifalme ya Prince Harry na  mchumba wake Meghan Markle.
Meghan Markle and Prince Harry kiss on the steps of St George's Chapel
Prince Harry na Mkewe Meghan Markle
Ndoa hiyo iliyofungwa katika Kanisa la Mtakatifu George, lililopo katika viunga vya himaya ya Kifalme (Windsor Castle). Imehudhuriwa na maastaa kibao akiwemo David Beckham na mkewe, mchezaji wa tenisi Serena Williams na mumewe, Oprah Winfrey, muigizaji Pryanka Chopra na wengine kibao.
Serena Williams

Oprah
David Beckham na mkewe
Pryanka Chopra
Idris Elba and Sabrina Dhowre, followed by Oprah Winfrey, arrive at St George's Chapel
Mchekeshaji Idris Elba naye alipata mualiko.
Well-wishers arrive on the Long Walk leading to Windsor Castle ahead of the wedding and carriage procession of Britain's Prince Harry and Meghan Markle in Windsor, on May 19, 2018
Mastaa walioalikwa wakitembea kwenye barabara inayofahamika kwa jina la Long Walk kuelekea makazi ya kifalme Windsor Castle.
Flowers and foliage surround the West Door and steps of St George's Chapel at Windsor Castle for the wedding of Prince Harry to Meghan Markle
Kanisa la St. George kwa nje
Flowers and foliage surround the High Altar of St George's Chapel at Windsor Castle for the wedding of Prince Harry to Meghan Markle.
Kanisa la St. George kwa ndani
Police offers and spectators gather on the Long Walk ahead of the wedding of Prince Harry and Meghan Markle.
Polisi wakiimarisha ulinzi katika barabara za kuigia eneo la tukio ambapo zaidi ya watu 100,000 walialikwa kushuhudia tukio hilo la kihistoria
PICHA ZA WANANDOA PRINCE HARRY NA MKEWE MERGHAN:

Prince Harry and Meghan Markle leave St George's Chapel in Windsor Castle after their wedding

Prince Harry and Meghan Markle

Prince Harry and Meghan Markle in St George's Chapel at Windsor Castle during their wedding service

Prince Harry and Meghan Markle leave St George"s Chapel in Windsor Castle after their wedding
Prince Harry and Meghan Markle
Share To:

msumbanews

Post A Comment: