Kiongozi wa China Xi Jinping ndiye mtu mwenye ushawishi Zaidi duniani, kwa mujibu wa jarida la Forbes. Amechukua nafasi hiyo baada ya bunge China kumpa mamlaka zaidi na kuondoa kikomo cha muhula wa rais.

Jingping amechukua nafasi hiyo kutoka kwa Rais Vladimir Putin wa Urusi ambaye kwa sasa anashika nafasi ya pili.

World Most #PowerfulPeople List of @Forbes #forbes

1. Xi Jinping
2. Vladimir Putin
3. @realDonaldTrump
4. Angela Merkel
5 @JeffBezos @amazon
6. Pope Francis
7. @BillGates
8. Mohammed bin Salman Al Saud
9. @narendramodi
10. Larry Page @Google

Share To:

msumbanews

Post A Comment: