Staa wa bongo movies Wema Sepetu amewaacha watu katika mshangao na kuchanganyikiwa baaada ya kuweka posti ya kusikitisha inayohusu mwanamke ambae alipata tatizo la kuharibika kwa mimba.

Watu wamekuwa wakijiuliza je post hiyo inamkumbusha mimba iliyoharika kipindi cha nyuma au ni mimba nyingine imeharibika tena.

Watu wengi wameonekana kuguswa na jambo hilo na kusema kuwa Wema anapitia kipindi kigumu sana kwa sasa kutokana na hamu yake kubwa ya kutaka kuwa na mtoto lakini inashindikana.

Wema aliweka picha hiyo katika ukurasa wake wa instagram na kuandika “Story of my life”

Share To:

msumbanews

Post A Comment: