Mwenyekiti wa BAWACHA na Mbunge wa Kawe, Halima Mdee na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA, Ester Bulaya (MB) wamewasili katika Kituo cha Polisi Kati jijini Dar es salaam.
Hatua ya Wabunge hao kuwasili leo Ijumaa, April 13 ni moja ya sharti la dhamana mabapo waliambiwa waripoti.
Viongozi Sita wa CHADEMA akiwemo Halima Mdee waliachiwa huru April 3 baada ya kutimiza masharti ya dhamana katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam.
Share To:

msumbanews

Post A Comment: