Dkt. Mwakyembe :Vijana wanatakiwa kutumia vizuri mitandao ya kijamii hususani kwenye upatikanaji elimu ya mambo mbalimbali.

Dkt.Mwakyembe:Vyombo vya habari vinatakiwa kutoa habari kwa kuzingatia maadili  na sheria ya habari.

Dkt.Mwakyembe:Vyombo vya habari ni vya muhimu katika kumuwezesha Mtanzania kufahamu yanayoendelea katika nchi hususani katika kuelekea kwenye uchumi wa viwanda.

Dkt.Mwakyembe:Serikali inazingatia uhuru wa habari hasa katika mambo yanayojenga nchi kwa kuleta maendeleo.

Dkt.Mwakyembe: Serikali haitafumbia macho kwa chombo chochote cha habari kitakacho toa habari za uwongo na uchochezi.

Dkt.Mwakyembe: Serikali ipo tayari kupokea ukosoaji wowote utakao tolewa na vyombo vya habari ambao unajenga na kuleta maendeleo ya nchi.

Dkr.Mwakyembe: Amevitaka vyombo vya habari hasa redio kuwasaidia wasanii wachanga kukua katika tasnia ya muziki.

Dkt.Mwakyembe: Wananchi wa Arusha wanatakiwa wajifunze zaidi jinsi ya kuboresha ujasiliamali, na jinsi yakunufaika nao hasa katika sekta ya utalii.

Dkt.Mwakyembe: Arusha kuna fursa nyingi,wananchi wanatakiwa wanufaike nazo.


Imetolewa na:
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha
11/3/2018.
Share To:

msumbanews

Post A Comment: