Serikali kupitia Msemaji wake, Dkt. Hassan Abbasi imetolea Ufafanuzi
Malalamiko ya Mwekezaji kiwanda cha Sukari ZSFL anedaiwa kuzuiwa
kuingiza sukari yake Tanzania Bara ambapo awali Kiwanda hicho
kilimilikiwa na Serikali kabla ya kubinafsishwa kwa mwekezaji. Tazama
video hii Dkt. Abbasi akitolea ufafanuzi.
Post A Comment: