Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda akizungumza na wenyeviti wa Mkoa wa Dar es Salaam na Pwani pamoja na Wafanyakazi wa Dawasa ambao wameudhuria  kwenye uzinduzi wa wiki ya maji kwa mkoa wa Dar es Salaam uliofanyika katika ukumbi wa Mwalimu Nyerere hapa jijini. 
 Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Mhandisi Evarist Ndikilo akizungumza wakati wa uzinduzi wa wiki ya maji kwa mkoa wa Dar es Salaam ambapo alisema ni vyema Dawasco wakaongeza usambazaji wa maji katika mkoa huo hili kusaidia ukuaji wa maendeleo ya Viwanda hapa nchini.
 Kaimu Mtendaji Mkuu wa DAWASCO, Mhandisi Cyprian Luhemeja akizungumza wakati wakati wa uzinduzi wa wiki ya maji kwa mkoa wa Dar es Salaam uliofanyika leo.

 Katibu Tawala wa Wilaya ya Ilala , Edward Mpogolo akizungumza na wadau wa maji waliofika katika uzinduzi wa wiki ya maji kwa mkoa wa Dar es Salaam, pia alieleza mafanikio ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam kwa kipindi cha Miaka Miwili.
 Baadhi wafanyakazi wa Dawasa na DAWASCO waliohudhuria kwenye uzinduzi wa wiki ya maji  kwa mkoa wa Dar es Salaam.
Sehemu ya Wenyeviti wa Serikali ya Mtaa wa  mkoa wa Dar es Salaam waliohudhuria uzinduzi wa Wiki ya Maji kwa Mkoa wa Dar es Salaam
Share To:

msumbanews

Post A Comment: