Rais Mstaafu Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete ambaye pia mbunge wa zamani wa Jimbo la Chalinze na Mkewe Mama Salma Kikwete wametoa mchango wa mifuko 300 ya sementi itakayofanikisha ujenzi wa zahanati ya Kijiji cha Kwakonje na nyumba ya walimu.

Share To:

msumbanews

Post A Comment: