Rais Magufuli amewateua aliyekuwa IGP, Ernest Mangu kuwa Balozi wa Tanzania nchini Rwanda na Meja Jenerali Mstaafu, Simon Mumwi kuwa Balozi wa Tanzania nchini Urusi.
Wateule wote wataapishwa Machi 21 Ikulu Jijini Dar es Salaam kuanzia saa 5:00 asubuhi.
Awali aliteuliwa kuwa Balozi bila kupewa nchi.
Share To:

msumbanews

Post A Comment: