Malkia wa muziki wa Bongo Fleva Lady Jaydee ameachia video ya ngoma yake mpya ‘Anaweza’ ambao amemshirikisha msanii mkongwe ktoka Jamaica, Luciano. Wimbo umetayarishwa na Spicymusik wakati vieo imeongozwa na Justin Campos a Afrika Kusini.
Share To:

msumbanews

Post A Comment: