Mkuu wa Jeshi la Polisi IGP Simon Sirro, akikagua mradi wa maendeleo wa  Makao Makuu ya Jeshi hilo unaotekelezwa katika mkoa wa Dodoma, leo mradi ambao unatarajiwa kukamilika hivi karibuni. 
Mkuu wa Jeshi la Polisi IGP Simon Sirro, akitoka kukagua mradi wa maendeleo wa  Makao Makuu ya Jeshi hilo unaotekelezwa katika mkoa wa Dodoma, leo mradi ambao unatarajiwa kukamilika hivi karibuni. Picha na Jeshi la Polisi.
Share To:

msumbanews

Post A Comment: