Wabunge na madiwani wa chama cha demokrasia na maendeleo chadema wameandamana kuja ubalozi wa Ulaya kuja kuomba uangalizi wa usalama wakihofia usalama wa maisha yao lakini pia kuomba haki ya dhamana kwenye kesi inayowakabili viongozi wakuu wa chama hicho.
Share To:

msumbanews

Post A Comment: