MANGE KIMAMBI

Mkurugenzi wa Kampuni ya CZI, Cyprian Musiba leo Februari 25, 2018 amezungumza na waandishi wa habarina na kuwataja watu 10 hatari kwa usalama wa Taifa.

Musiba amesema serikali inatakiwa kuwa makini na watu wao kwani wanaweza kusababisha machafuko nchini .Musiba amewataja watu hao ni.

1.Mange Kimambi-Musiba amesema mange kimambi anatumiwa na FBI(Shirika la kijesusi la marekani)

2.Freeman Mbowe-Musiba amesema CHADEMA imepeleka vijan 500 ujerumani kwa ajiri ya kuratibu ajenda za kiarifu katika Taifa

3.Mari Sarungi-Musiba amesema maria sarungi  kazi yake ni kuongea negative juu ya serikali

4.Zitto kabwe-Musiba amesema Zitto anahamasisha vyama vya siasa viungane viandamane tyarehe 26/04/2018 ili walete vurugu.

5.Lissu

6.John Heche

7.John Marwa (Alikuwa mlinzi wa Salum mwalim wakati wa kampeni Kinondoni)

8.Evarist Chahari-Mtanzania anaishiu Uingereza

9.Julius Mtatiro

10.Janja wind-Kikundi cha wafuasi wa CUF
Share To:

msumbanews

Post A Comment: