Morgan, Tsvangirai amefariki akiwa nchini afika kusini ambapo alikua akipatiwa matibabu ya saratani, ugonjwa ambao ulikua ukimsumbua kwa kipindi kirefu.
Tsvangirai amefariki akiwa na miaka 65 na atakumbukwa kwa ushupavu wake katika Siasa hasa kipindi cha upinzani zidi ya Rais mstaafu wa zimbabwe Robert Mugabe.
Post A Comment: