Chama cha ACT- Wazalendo kupitia Kiongozi wake, Zitto Kabwe pamoja na viongozi wengine wa chama hicho wanaendelea na  ziara ya mikoa 8 kutembelea Kata mbalimbali ambazo wananchi walichagua Madiwani kutoka chama hicho katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 201

Kwa siku mbili (26&27 Feb) Kiongozi wa Chama Ndg. zittokabwe atakuwa Mkoani Manyara (Mbulu na Hanang) kutembelea Kata zinazoongozwa na ACTwazalendo. Leo ni zamu ya Kata ya Nambisi, Mbulu Mjini


Share To:

msumbanews

Post A Comment: