Wakati wapendanao Jumatano hii wakifurahia sikukuu yao ya Valentine’s Day kwa kupeana zawadi lukuki zenye ishara ya upendo, kwa upande wa Zari The Bosslady na Diamond siku hii imegeuka shubiri kwao.
Kupitia mtandao wa Instagram, Zari amethibirisha kuwa ameamua kumwagana na bosi huyo wa WCB ambaye tayari wamefanikiwa kupata watoto wawili kwenye mahusiano yao.
Kwa mujibu wa taarifa hiyo aliyoiandika, Zari ameonyesha kuchoshwa na habari za kusalitiwa na mzazi mwenzake huyo kila kukicha.
Kupitia mtandao huo, Zari ameandika:
Understand that this is very difficult for me to do.
There have been multiple rumors some with evidence floating around in ALL SORTS of media in regards to Diamond’s constant cheating and sadly I have decided to end my relationship with Diamond, as my RESPECT, INTEGRITY, DIGNITY & WELL BEING cannot be compromised.
We are separating as partners but not as parents.
This doesn’t reduce me as a self-made individual, and as a caring mother, and the boss lady you have all come to know.
I will continue to build as a mogul, i will inspire the world of women to become boss ladies too.
I will teach my four sons to always respect women, and teach my daughter what self-respect means.
Unlike many, I’ve been in the entertainment industry for 12 years, and through all my challenges I came out a victor because I am a winner, and so are all of you Zari supporters.
HAPPY VALENTINE’S
Share To:

msumbanews

Post A Comment: