Madhara ya muda mfupi yatokanayo na matumizi ya mirungi (khat)
• Kujiamini kupita kiasi
• Magonjwa ya vidonda vya tumbo (ulcers)
• Shikizo la damu
• Ukosefu wa hamu ya kula chakula (loss of appetite)
• Upungufu wa hayaa na Kukosa usingizi (insomnia)
• Kuongezeka kwa mapigo ya moyo
• Kukosa haja kubwa (constipation)
• Uropokaji, uchache wa adabu, ujuaji wa kila kitu
• Kukosa usikivu na utulivu
• Magonjwa ya akili
• Tahadhari

Madhara ya muda mrefu
• Huzuni/mfadhaiko wa mawazo
• Upungufu wa msukumo wa kufanya jimaa (sex drive). Na pia kuwahi kumaliza haraka na kutoweza kudumu kwenye tendo la ndoa kwa muda mrefu (pre-ejakulation)
• Humpelekea mlaji kutawaliwa nayo (Addiction)
• Msongo wa mawazo
• Kupata njozi zinazojirudia rudia
• Mahangaiko ya akili
• Kushindwa kujizuia kufanya vitendo visivyofaa kwenye jamii.
• Kuwa kwenye hatari kubwa ya kupata Shambulio la moyo
• Utumiaji wa muda mrefu husababisha kuharibu utendaji kazi wa ini, na pia kusababisha ubadilikaji rangi meno, kudhoofika, na fizi kuuma na harufu ya mdomo
• Kansa ya mdomo
Athari zisizozuilika
• Kifo
• Kiharusi kutokana na shambulio la moyo
Share To:

msumbanews

Post A Comment: