NAIBU Waziri wa Kilimo, Dk Mary Mwanjelwa akiongea machache na Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Mhe. Amina Masenza alipofika kwa utambulisho na kuanza ziara katika Mkoa huo Februari 23 2018. Pamoja naye (kushoto) Afisa Mtendaji Mkuu wa SAGCOT, Geoffrey Kirenga viongozi wa wasaidizi wake mkoani humo.
NAIBU Waziri wa Kilimo, Dk Mary Mwanjelwa akisalimiana na mmoja wa wageni alipokutana na kufanya mazungumzo na Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Mhe. Amina Masenza (kulia) alipofika kwa utambulisho na kuanza ziara katika Mkoa huo Februari 23 2018. Kulia kwa Naibu Waziri ni Afisa Mtendaji Mkuu wa SAGCOT, Geoffrey Kirenga.
NAIBU Waziri wa Kilimo, Dk Mary Mwanjelwa akiagana na Mkuu wa Mkoa, Mhe. Amina Masenza baada ya kufanya naye mazungumzo ofisini wakati wa kuanza kwa ziara yake mkoani humo. Kushoto ni Afisa Mtendaji Mkuu wa SAGCOT, Geoffrey.
NAIBU Waziri wa Kilimo, Dk Mary Mwanjelwa akikagua sehemu ya shamba lenye hekari 30 la GBRI Business Solutions Company Limited, Hadija Jabiri akiwa na mwenyeji wake mmiliki wake, Hadija Jabiri (wa pili kushoto), Afisa Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya Ukanda wa Kusini wa kukuza Kilimo (SAGCOT), Geoffrey Kirenga na Afisa kilimo wa mkoa wa Iringa Lucy Nyalu.
NAIBU Waziri wa Kilimo, Dk Mary Mwanjelwa akibadilishana mawazo na Mmiliki wa GBRI Business Solutions Company Limited, Hadija Jabiri alipotembelea shamba kitalu cha kampuni hiyo. 
NAIBU Waziri wa Kilimo, Dk Mary Mwanjelwa akibadilishana mawazo na wakina mama wanaojitegemea baada ya kukagua sehemu ya shamba lenye hekari 651 lililonunuliwa na Taasisi ya Ilula Programu 2013 mkoani Iringa kwa ajili ya kilimo cha biashara maalum kwa ajili yao, watoto yatima na wanafunzi wenye nia ya kukuza uelewa wa kilimo kutoka katika Wilaya ya Iringa hasa wa shule za primary na awali.
Share To:

msumbanews

Post A Comment: