Madiwani waliojiuzuru kutoka Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na kujiunga na CCM Manispaa ya Iringa Mjini ni pamoja na;
- Joseph Nzala Lyata – Kata ya Kwakilosa
- Oscar Kafuka – Kata ya Mkwawa
- Tandes Gabriel Sanga – Kata ya Ruaha
- Anjelus Mbongo Lijuja – Kata ya Mwangata
- Dadi Johansen Igogo – ambaye alikuwa Naibu Meya wa Manispaa ya Iringa- Kata ya Gangilonga
- Edgar Mgimwa- ambaye alikuwa Kata ya Kihesa na kuhamia CCM ambaye kwasasa anaiongoza Kata kwa tiketi ya CCM.
- Baraka Jeremiah Kimata – Ambaye kwa sasa ni diwani kupitia CCM.
Pamoja na Lugano Mwanyingi, Leah Charles Mleleu na Hasna Daudi Mwangazi wa Viti Maalum.
USISAHAU KU LIKE PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI
Post A Comment: