Sakata la viongozi na wanachama wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kukihama chama hicho linazidi kuchukua sura mpya baada ya ngome ya chama hicho Iringa Mjini kuzidi kuyeyuka na huwenda kuzimika kabisa mithiri ya mshumaa kwenye pepo la ufukweni.

Madiwani waliojiuzuru kutoka Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na kujiunga na CCM Manispaa ya Iringa Mjini ni pamoja na;
  1. Joseph Nzala Lyata – Kata ya Kwakilosa
  2. Oscar Kafuka – Kata ya Mkwawa
  3. Tandes Gabriel Sanga – Kata ya Ruaha
  4. Anjelus Mbongo Lijuja – Kata ya Mwangata
  5. Dadi Johansen Igogo – ambaye alikuwa Naibu Meya wa Manispaa ya Iringa- Kata ya Gangilonga
  6. Edgar Mgimwa- ambaye alikuwa Kata ya Kihesa na kuhamia CCM ambaye kwasasa anaiongoza Kata kwa tiketi ya CCM.
  7. Baraka  Jeremiah Kimata – Ambaye kwa sasa ni diwani kupitia CCM.
Pamoja na Lugano Mwanyingi, Leah Charles Mleleu na Hasna Daudi Mwangazi wa Viti Maalum.

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI 
Share To:

msumbanews

Post A Comment: