Habari tulizozipata hivi punde kutoka mkoani Kigoma zinaarifu kuwa Treni ya abiria iliyokuwa inatoka jijini Dar es saalam kwenda mkoa wa Kigoma imeanguka katika eneo la Malagarasi wilaya ya Uvinza jioni hii siku ya Jumatano Februari 28,2018.


Mwandishi wetu  anasema kichwa cha treni hiyo kimetoka nje ya njia yake na behewa mbili zimeanguka na kwamba taarifa za awali ni kwamba hakuna mtu aliyepoteza maisha.
Share To:

msumbanews

Post A Comment: